Ajali 11 mbaya sana
Hizi ndio ajali mbaya kuliko zote hapa Duniani.
Japo wengi huziona za kawaida tu, omba usikutane nazo kabisa!
1. Kuvunjika Moyo wa Kuswali
2. Kutopenda kusikiliza mawaidha
3. Kutojali halali na haramu
4. Kutosoma QUR-AN
5. Kuondokewa na hofu ya Mungu
6. Kutowajali wazazi
7. Kutokuwa na huruma kwa viumbe wa Mwenyezi Mungu
8. Kutenda Dhambi wakati unajua
9. Kudhani utaishi milele
10. Kutokua na Roho ya Kusamehe.
11. Kubwa zaidi ya yote ni Shirk (kumshirikisha Mwenyezi Mungu).
Namuomba Mwenyezi Mungu atuepushe na ajali hizo.
Ameen.
KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI.
Japo wengi huziona za kawaida tu, omba usikutane nazo kabisa!
1. Kuvunjika Moyo wa Kuswali
2. Kutopenda kusikiliza mawaidha
3. Kutojali halali na haramu
4. Kutosoma QUR-AN
5. Kuondokewa na hofu ya Mungu
6. Kutowajali wazazi
7. Kutokuwa na huruma kwa viumbe wa Mwenyezi Mungu
8. Kutenda Dhambi wakati unajua
9. Kudhani utaishi milele
10. Kutokua na Roho ya Kusamehe.
11. Kubwa zaidi ya yote ni Shirk (kumshirikisha Mwenyezi Mungu).
Namuomba Mwenyezi Mungu atuepushe na ajali hizo.
Ameen.
