Propellerads

Monday, September 12, 2016

mpoma

AJALI MBAYA YATOKEA DAR LEO ASUBUHI

Propellerads

Mmoja wa wanadada (mwenye suti) waliokuwamo ndani ya gari akifarijiwa. Mwenzake alikimbizwa Marie Stopes kwa kwa huduma ya kwanza

Japo inasemekana kuwa ajali haina kinga, ila tahadhari ni muhimu. Barabara inayounganisha Shekilango na Alli Hassan Mwinyi, eneo la Sayansi, lipo katika matengenezo.

Hivyo, inapaswa madereva kuchukua tahadhari, kwani barabara hiyo haijakamilika na pia mkandarasi yupo kazini.Bahati mbaya sana, asubuhi hii, majira ya saa Moja, wanadada wawili wamejikuta gari lao, Escudo likigeuka lilikotoka na kuwa miguu juu, mbele kabisa la Jengo la Kituo cha Sheria na Haki za Biandamu (Justice Lugakingira House)! Ila la kumshukuru MUNGU ni kuwa wamepona, japo hawakuepuka michubuko midogo midogo.

KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI. Propellerads

mpoma

About mpoma

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :