Propellerads

Monday, October 24, 2016

mpoma

AJALI YA NDEGE YAUA MAAFISA EU

Propellerads

Ajali ya ndege yaua maafisa EU



Ajali ya ndege yaua maafisa EU


  • Watu WATANO wamefariki baada ya ndege iliyobeba maafisa wa Umoja wa ULAYA kuanguka katika uwanja wa ndege katika kisiwa cha MALTA.

    Mashuhuda wanasema ndege hiyo imeanguka muda mfupi baada ya kupaa kwenye uwanja wa ndeg wa LUQA ikielekea katika mji wa MISRATA nchini LIBYA.

    Kufuatia kuanguka kwa ndege hiyo uwanja wa ndege wa kimataifa wa MALTA umefungwa kwa muda hadi mabaki ya ndege hiyo yatakapoondolewa.
KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI. Propellerads

mpoma

About mpoma

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :