Propellerads

Wednesday, November 9, 2016

mpoma

Kwa picha: Siku ya uchaguzi wa Marekani mwaka 2016

Propellerads


  • Saa moja iliyopita
Wapiga kura wakisubiri kwenye vituo kupiga kura zao katika uchaguzi wa urais katika mji wa Scottsdale, ArizonaImage copyrightLAURA SEGALL / AFP
Image captionZaidi ya wamarekani milioni 100 million wanapiga kura kuamua kwa kura ni nani atakayekuwa rais wao ajaye wakisimama kwenye misururu mirefu
Mgombea wa urais wa Democratic na waziri wa zamani wa mambo ya nje Hillary Clinton akiwasalimia wafuasi wake baada ya kupiga kura yake eneo la Chappaqua, New YorkImage copyrightJUSTIN SULLIVAN / GETTY IMAGES
Image captionMgombea wa Democratic Hillary Clinton akisalimiwa na wafuasi wake pamoja na mumewe, rais wa zamani wa Marekani Bill Clinton, baada ya kupiga kura eneo la Chappaqua, New York. Kura za maoni za kitaifa zinampa ushini wa asilimia nne zaidi ya mpinzani wake wa Republican Bwana Trump.
Mgombea wa urais wa chama cha Republican Donald Trump akisindikizwa na mkewe wife Melania mjini New YorkImage copyrightEVAN VUCCI / AP
Image captionMgombea wa urais wa chama cha Republican Donald Trump pia alipiga kura yake na mkewe mjini New York. Wagombea wote walilenga majimbo muhimu Jumatatu, ambapo walielekezamikutano yao ya kampeni katika majimbo ya North Carolina, Pennsylvania na Michigan.
Lucille Lemkin akimsubiri mama yake alipokuwa akipiga kura yake katika Luxe Hotel, CaliforniaImage copyrightMIKE NELSON / EPA
Image captionMjini Los Angeles, California, mtoto mmoja wa kike akisubiri wa utulivu huku mama yake ikipiga kura.
Fabio Alvarado, mwenye umri wa miaka 91, mwenye asili ya El Salvador aliapishwa kuwa raia wa Marekani katika siku ya uchaguziImage copyrightMARIO ANZUONI / REUTERS
Image captionFabio Alvarado, mwenye umri wa miaka 91, mwenye asili ya El Salvador aliyeapishwa kuwa raia wa marekani katika siku ya uchaguzi akiwasili na mkewe Marta,mwenye umri wa miaka 80, kupiga kura zao kwenye ofisi ya msajiri wa kaunti ya LA Counti mjini Norwalk, California.
Mfuasi wa Trump , akisimama nje ya kituo cha kupigia kura cha chuo kikuu cha kitaifa cha Penn Sakitumai kuwashawishi wanafunzi wenzake kumpigia kura Donald TrumpImage copyrightJEFF SWENSEN / GETTY IMAGES
Image captionKatika Chuo Kikuu cha kitaifa cha Penn mmoja wa wafuasi wa Trump akitumai kuwashawishi watu kumpigia kura Trump
Mfuasi wa Hillary Clinton Jorge Mendez of Glendale, Arizona akiwa amevaa gauni na sanamu ya Hillary ClintonImage copyrightRALPH FRESO / GETTY IMAGES
Image captionMfuasi wa Hillary Clinton Jorge Mendez of Glendale, Arizona akiwa amevaa gauni na sanamu ya Hillary Clinton kuonmyesha ni nani anayemuunga mkono
Watu wakipiga kura katika Woodman of the World (WOW) Lodge wakati wa uchaguzi wa rais wa Marekani Florence, South CarolinaImage copyrightRANDALL HILL / REUTERS
Image captionWamarekani wanachagua pia wajumbe wa baraza la Congress. Wajumbe wa baraza la wawakilishi -kwa sasa linadhibitiwa na Republican - wanataka kulichukua tena ,na pia theluthi moja ya viti vya seneti ambayo pia iko mikonono mwa Republican.
Vijisanduku vya kupigia kura katika eneo la Richmond, VirginiaImage copyrightSHELBY LUM/RICHMOND TIMES-DISPATCH VIA AP
Image captionMajimbo yote 50 na Washington DC yanapiga kura katika kipindi cha masaa sita tofauti
A mpiga kura KansasImage copyrightLARRY W SMITH / EPA
Image captionMpiga kura katika jimbo la Kansas akijiandaa kupiga kura yake katika jimbo ambalo chama Republical kimekuwa kikishinda kila mwaka tangu 1968.
Mpiga kura akiweka kijikaratasi cha ishara ya "nimepiga kura "Image copyrightCHARLES MOSTOLLER / REUTERS
Image captionWamarekani zaidi ya Milioni 46 million - walipiga kura yao mapema kwa njia ya posta ama katika vituo vya kupigia kura.
Douglas Hurt akiwa ameshikilia karatasi ya ujumbe wake katika mji wa Bowling Green, KentuckyImage copyrightAUSTIN ANTHONY / DAILY NEWS VIA AP
Image captionKwa baadhi kauli za kinyama baina ya wagombea wawili zimewafanya wajihisi kukata tamaa ya kupiga kura
Mwandishi wa habari akizungumza mbele ya kameraImage copyrightMARY ALTAFFER / AP
Image captionKabla ya kufungwa kwa vituo vya kupigia kura waandishi wa habari walianza kukusanyika katika eneo la mkutano wausiku wa mgombea wa Republican Donald Trump mjini New York.
Muhudumu akiandaa bendera ya Marekani katika kituo cha mikutano cha Jacob K Javits Convention Center mjini New YorkImage copyrightAFP
Image captionWakati bendera ya Marekani ikipepea kote mjini kujiandaa kwa ajili ya mkutano wa kampeni wa Bi Hillary Clinton
Wageni wakijipiga picha za selfie na masanamu ya wagombea wa urais Hillary Clinton na Donald TrumImage copyrightBART MAAT / EPA
Image captionUmuhimu wa uchaguzi si tu kwa wamarekani . nchini Uholanzi watu wanapiga picha na masanamu ya wagombea wa urais Hillary Clinton na Donald Trump.
Donna Deer, mfuasi wa Donald TrumpImage copyrightMICHAEL CONROY / AP
Image captionNchini Marekani kwenyewe huku matokeo ya awali yakiendelea kutolewa, watu wanakusanyika kuonyesha uunganji mkono wao kwa wagombea walio wachagua , hapa ni katika usiku wa uchaguzi katika jiji la ndianapolis
Umati wa watu katika mkutano wa kisiasa wa Hillary Clinton mjini New YorkImage copyrightJUSTIN LANE / EPA
Image captionHuku mfuasi wa Clinton akionyesha furaha yake.
Johanna Stiles akibeba kura zilizopigwa kwa njia ya posta katika kaunti ya Leon County, FloridaImage copyrightMARK WALLHEISER / GETTY IMAGES
Image captionMoja ya majimbo muhimu ni Florida, ambako upinzani ulikuwa mkali na idadi ya kura za wagombea ilikaribiana sana lakini hatimae Bwana Trump alishinda.
Umati ukitazama ripoti za katika kituo cha Rockefeller CenterImage copyrightJULIO CORTEZ / AP
Image captionNje ya kituo cha Rockefeller Center- New York watu walisimama kuangalia habari za matokeo kwenye screen...
mamia ya wafuasi wa mgombea wa Democratic Hillary ClintonImage copyrightSAUL MARTINEZ / REUTERS
Image captionWakati huo huo katika eneo la Brooklyn Borough wafuasi wa Hillary Clinton walikusanyika kushuhudia matokeo
Wafuasi wa Donald TrumpImage copyrightCHIP SOMODEVILLA / GETTY IMAGES
Image captionWafuasi wa Trump katika mkutano wa Trump wakifuatilia matokeo yaliyoonyesha mgombea wao akifanya vema.
Wafuasi wa Hillary ClintonImage copyrightCARLOS BARRIA / REUTERS
Image captionHuku katika mkutano wa Clinton hali ikiwa ya wasi wasi
Mfuasi wa Trump , akisimama nje ya kituo cha kupigia kura cha chuo kikuu cha kitaifa cha Penn Sakitumai kuwashawishi wanafunzi wenzake kumpigia kura Donald TrumpImage copyrightJEFF SWENSEN / GETTY IMAGES
Image captionKatika Chuo Kikuu cha kitaifa cha Penn mmoja wa wafuasi wa Trump akitumai kuwashawishi watu kumpigia kura Trump
KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI. Propellerads

mpoma

About mpoma

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :