Image copyright LAURA SEGALL / AFP Image caption Zaidi ya wamarekani milioni 100 million wanapiga kura kuamua kwa kura ni nani atakayekuwa rais wao ajaye wakisimama kwenye misururu mirefu Image copyright JUSTIN SULLIVAN / GETTY IMAGES Image caption Mgombea wa Democratic Hillary Clinton akisalimiwa na wafuasi wake pamoja na mumewe, rais wa zamani wa Marekani Bill Clinton, baada ya kupiga kura eneo la Chappaqua, New York. Kura za maoni za kitaifa zinampa ushini wa asilimia nne zaidi ya mpinzani wake wa Republican Bwana Trump. Image copyright EVAN VUCCI / AP Image caption Mgombea wa urais wa chama cha Republican Donald Trump pia alipiga kura yake na mkewe mjini New York. Wagombea wote walilenga majimbo muhimu Jumatatu, ambapo walielekezamikutano yao ya kampeni katika majimbo ya North Carolina, Pennsylvania na Michigan. Image copyright MIKE NELSON / EPA Image caption Mjini Los Angeles, California, mtoto mmoja wa kike akisubiri wa utulivu huku mama yake ikipiga kura. Image copyright MARIO ANZUONI / REUTERS Image caption Fabio Alvarado, mwenye umri wa miaka 91, mwenye asili ya El Salvador aliyeapishwa kuwa raia wa marekani katika siku ya uchaguzi akiwasili na mkewe Marta,mwenye umri wa miaka 80, kupiga kura zao kwenye ofisi ya msajiri wa kaunti ya LA Counti mjini Norwalk, California. Image copyright JEFF SWENSEN / GETTY IMAGES Image caption Katika Chuo Kikuu cha kitaifa cha Penn mmoja wa wafuasi wa Trump akitumai kuwashawishi watu kumpigia kura Trump Image copyright RALPH FRESO / GETTY IMAGES Image caption Mfuasi wa Hillary Clinton Jorge Mendez of Glendale, Arizona akiwa amevaa gauni na sanamu ya Hillary Clinton kuonmyesha ni nani anayemuunga mkono Image copyright RANDALL HILL / REUTERS Image caption Wamarekani wanachagua pia wajumbe wa baraza la Congress. Wajumbe wa baraza la wawakilishi -kwa sasa linadhibitiwa na Republican - wanataka kulichukua tena ,na pia theluthi moja ya viti vya seneti ambayo pia iko mikonono mwa Republican. Image copyright SHELBY LUM/RICHMOND TIMES-DISPATCH VIA AP Image caption Majimbo yote 50 na Washington DC yanapiga kura katika kipindi cha masaa sita tofauti Image copyright LARRY W SMITH / EPA Image caption Mpiga kura katika jimbo la Kansas akijiandaa kupiga kura yake katika jimbo ambalo chama Republical kimekuwa kikishinda kila mwaka tangu 1968. Image copyright CHARLES MOSTOLLER / REUTERS Image caption Wamarekani zaidi ya Milioni 46 million - walipiga kura yao mapema kwa njia ya posta ama katika vituo vya kupigia kura. Image copyright AUSTIN ANTHONY / DAILY NEWS VIA AP Image caption Kwa baadhi kauli za kinyama baina ya wagombea wawili zimewafanya wajihisi kukata tamaa ya kupiga kura Image copyright MARY ALTAFFER / AP Image caption Kabla ya kufungwa kwa vituo vya kupigia kura waandishi wa habari walianza kukusanyika katika eneo la mkutano wausiku wa mgombea wa Republican Donald Trump mjini New York. Image copyright AFP Image caption Wakati bendera ya Marekani ikipepea kote mjini kujiandaa kwa ajili ya mkutano wa kampeni wa Bi Hillary Clinton Image copyright BART MAAT / EPA Image caption Umuhimu wa uchaguzi si tu kwa wamarekani . nchini Uholanzi watu wanapiga picha na masanamu ya wagombea wa urais Hillary Clinton na Donald Trump. Image copyright MICHAEL CONROY / AP Image caption Nchini Marekani kwenyewe huku matokeo ya awali yakiendelea kutolewa, watu wanakusanyika kuonyesha uunganji mkono wao kwa wagombea walio wachagua , hapa ni katika usiku wa uchaguzi katika jiji la ndianapolis Image copyright JUSTIN LANE / EPA Image caption Huku mfuasi wa Clinton akionyesha furaha yake. Image copyright MARK WALLHEISER / GETTY IMAGES Image caption Moja ya majimbo muhimu ni Florida, ambako upinzani ulikuwa mkali na idadi ya kura za wagombea ilikaribiana sana lakini hatimae Bwana Trump alishinda. Image copyright JULIO CORTEZ / AP Image caption Nje ya kituo cha Rockefeller Center- New York watu walisimama kuangalia habari za matokeo kwenye screen... Image copyright SAUL MARTINEZ / REUTERS Image caption Wakati huo huo katika eneo la Brooklyn Borough wafuasi wa Hillary Clinton walikusanyika kushuhudia matokeo Image copyright CHIP SOMODEVILLA / GETTY IMAGES Image caption Wafuasi wa Trump katika mkutano wa Trump wakifuatilia matokeo yaliyoonyesha mgombea wao akifanya vema. Image copyright CARLOS BARRIA / REUTERS Image caption Huku katika mkutano wa Clinton hali ikiwa ya wasi wasi Image copyright JEFF SWENSEN / GETTY IMAGES Image caption Katika Chuo Kikuu cha kitaifa cha Penn mmoja wa wafuasi wa Trump akitumai kuwashawishi watu kumpigia kura Trump
KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI.