MASKINI MTOTO HUYU...........
Kama unavyomuona pichani Hans t shirt aliyovaa imetapakaa Damu...
Wakati haya yakitokea baba mzazi hakuwepo,hivyo akaondoka nyumbani hapo kilichotokea majira ya saa nne usiku akaonekana Kipawa akiwa amelala kibarazani kwa mtu aliyetupa habari hii.Ndio kumuuliza kilichotokea na kusimulia yaliyompata mpaka kufika hapo.Ikabidi wamchukue wamlete Tabata ambapo yeye Hans hakuwahata akijua ni upande gani wa Tabata alichoshika ni shule anayosoma shule ya msingi Tabata.
Hans anasema ni kawaida sana yeye kupigwa na huyo mama wa kambo na mara nyingi humng'ata.
Hans alipatiwa matibabu,mpaka sasa sijui kinaendelea nini tutafatilia halafu tutakwambia nini kilijiri baada ya hapo.
Asante Gea kwa picha na pia wiki hii utaisikia habari hii katika hekaheka za leo ndani ya leo tena.
