Propellerads

Thursday, November 24, 2016

mpoma

DIAMOND Kaamua Kufunguka Yote Leo...Nimekuwekea Kauli Zote Alizosema Leo Ikiwemo ya Ommy Dimpoz Kutuma Watu Wamuombe Msamaha

Propellerads


Nimekuwekea hapa Maneno Aliyosema Diamond Leo Kwenye Kipindi cha XXL:


Ommy Dimpoz ameshatuma watu wengi sana kuomba msamaha, amenipigia hadi simu lakini sikupokea. Ila nimemsamehe- @diamondplatnumz #XXL


Wanajisifu wana sauti nzuri lakini makoo yanawakauka na 'show' hawapati, wakifanya nyimbo haziendi mbali- @diamondplatnumz #XXL

Kama mimi ni msanii wa ujanja ujanja mbona nafanya nyimbo zinakwenda kimataifa na matamasha kimataifa yanajaa?- @diamondplatnumz #XXL

Mimi ni mtu mstaarabu sana lakini watu wananiona kama nina kejeli, na kila wakitaka kushindana na mimi wanashindwa- @diamondplatnumz #XXL

Wimbo wa I Will Mary You niliyomshirikisha Ne-Yo haujavuja lakini ulitoka ukaanza kusambazwa Marekani na Ulaya- @diamondplatnumz #XXL

Mimi ni mtu mstaarabu sana lakini watu wananiona kama nina kejeli, na kila wakitaka kushindana na mimi wanashindwa- @diamondplatnumz #XXL
KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI. Propellerads

mpoma

About mpoma

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :