Propellerads

Friday, November 4, 2016

mpoma

Matokeo kamili ya uchaguzi Jimbo la Chalinze haya hapa.

Propellerads


kituoApril 06 ndiyo ilikua siku pekee kwa Wananchi wa Chalinze kupiga kura ya kumchagua Mbunge wao kwenye uchaguzi mdogo wa nJimbo la Chalinze,matokeo yake yametangazwa usiku wa kuamkia April 07 na msimamizi wa kituo hicho Mr.Samuel Sajanga,
Matokeo hayo yameonyesha Chama Cha Mapinduzi kimepata kura 28,000 ambayo ni sawa na ushindi wa asilimia 86.61,Chadema imepata kura 2,544 ambayo sawa na asilimia 10.58,Chama cha Cuf kimepata kura 476 ambayo sawa na asilimia 1.98.
Vingine ni Chama cha Afp ambacho kimepata kura 186 ambayo ni sawa na asilimia 0.59 na Chama cha  Nra ambacho kimepata kura 60 ambayo sawa na asilimia 0.25.
Bonyeza play kusikiliza idadi ya watu waliopiga kura na kasoro zilizojitokeza kwenye
 
KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI. Propellerads

mpoma

About mpoma

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :