Propellerads

Thursday, November 24, 2016

mpoma

Picha:Vera Sidika Aonyesha Nyumba yake na Gari Analomiliki ni ‘Kufuru’

Propellerads



Mrembo maarufu wa Kenya, Vera Sidika ameonyesha kuwa na yeye ni miongoni mwa mastaa wanaomiliki vitu vya thamani.
Kupitia mtandao wa Instagram, Vera ameuonyesha mjengo wa kifahari anaoumiliki pamoja na gari aina ya Range Rover na kuwaacha mashabiki mdomo wazi.
“I still remember the days I prayed for the things I have now. Just believe in the person you want to be and then work hard for it. Because the Limit to your abilities is where you set them. Have a productive week ahead. 👑QVB👑,” aliandika Vera kwenye picha aliyoiweka kwenye mtandao huo.
Hatua hiyo ya mrembo huyo kuonyesha mali zake hizo imeonekana ni kama amemkejeli hasimu wake Huddah Monroe.
“I wonder why Huddah sees Vera as a. Challenge??? The beef is real.. Am happy my queen is more matured than her =, ignoring her to the fullest,” amecomment mmoja wa mashabiki kwenye picha hiyo.
KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI. Propellerads

mpoma

About mpoma

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :