Propellerads

Thursday, November 10, 2016

mpoma

Taarifa iliyotoka Ikulu ya White House baada ya ushindi wa Donald Trump

Propellerads



Taarifa iliyotolewa leo November 9 2016 na Ikulu ya Marekani baada tu ya ushindi wa Donald Trump imeeleza kuwa Rais Obama amempigia simu Donald Trump kumpongeza kwa ushindi wake katika uchaguzi wa Urais ambapo pia amemwalika ikulu ya White House mnamo Alhamisi kuzungumza naye.
Obama pia amempigia Hillary Clinton na kumpongeza kutokana na alivyofanya kampeni zake, aidha taarifa hiyo imeeleza kuwa Rais Obama atatoa taarifa zaidi Jumatano kutoka White House kujadili matokeo ya uchaguzi na hatua ambazo wanaweza kuchukua kama taifa kuungana tena pamoja baada ya kipindi cha uchaguzi huo uliokuwa na ushindani mkali
KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI. Propellerads

mpoma

About mpoma

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :