Propellerads

Monday, February 13, 2017

mpoma

65 wa Madawa ya Kulevya Tanzania Kuhojiwa na Polisi

Propellerads



 Kamanda wa Polisi wa Dar es Salaam, Simon Siro
Kamanda wa Polisi wa Dar es Salaam, Simon Siro
Baadhi ya wanasiasa wakongwe na wafanyabiashara maarufu akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe wanashukiwa kujihusisha na madawa ya kulevya.
Katika mkutano na waandishi wa habari Jumatano jijini Dar es salaam, mkuu wa mkoa Paul Makonda ametaja orodha ya watu 65 wanaotakiwa kuripoti polisi Ijumaa wiki hii.
Washukiwa hao ni pamoja na mbunge mstaafu wa kinondoni (CCM), Iddi Azan, mfanyabiashara maarufu, Yusuph Manji, mchungaji Josephat Gwajima na watu wengine binafsi wakiwemo wafanyabiashara wanaomiliki mahoteli, kasino, meli na wamiliki wa vituo kadhaa vya mafuta.
KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI. Propellerads

mpoma

About mpoma

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :