Propellerads

Friday, September 9, 2016

mpoma

laurent computer centre

Propellerads

Arsenal vs. Southampton: Arsene Wenger's Key Pre-Match ...

WENGER ADHIHIRISHA CHUKI ZAKE DHAHIRI DHIDI YA MOURINHO

Arsene Wenger na Jose Mourinho bado wanaonekana kuwa na bifu zito baada ya kuzua tafrani kwenye mkutano wa UEFA maalum kwaajili ya makocha wa timu mbalimbali wenye mafanikio makubwa uliofanyika wiki iliyopita. Gazeti la michezo la Marca kutoka nchini Uhispania limeripoti kuwa Wenger alikataa kuruhusu Mourinho akae mbele yake wakati Sir Alex Ferguson akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano huo huko Nyon. Akiwa amewasili kwenye mkutano huo kwa kuchelewa, meneja huyo wa Manchester United aliuliza kama angeweza kukaa kwenye moja ya baadhi ya siti zilizokuwa wazi na hapo ndipo Wenger... KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI. Propellerads

mpoma

About mpoma

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :