Propellerads

Wednesday, September 14, 2016

mpoma

mkubwa fela. afunguka nakusema

Propellerads

Meneja wa Kundi la TMK Wanaume Family na Yamoto Band, Mkubwa Fella amekanusha madai ya kwamba wasanii wake wamekuwa wakijihusisha na biashara ya madawa ya kulevya.
Akiongeza na Sporah Show ya Clouds TV Jumamosi hii, Fella aliulizwa kwamba kuna taarifa zina sambaa kuwa wasanii wake pamoja na yeye mwenyewe anajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya.

“Hakuna madawa ya kulevya wala nini,” alisema Fella.

Aliongeza, “Mimi mwenyewe nakituo changu cha kuwasaidia walio athirika na madawa ya kulevya. Teja wowote akitaka kuja kupona ni bure, sasa kama mimi ni muuzaji tena kwanini niwatibu, si napoteza wateja,”
KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI. Propellerads

mpoma

About mpoma

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :