Propellerads

Monday, October 24, 2016

mpoma

HISTORIA YA ALIKIBA HII HAPA

Propellerads



Mwanzoni mwa mwaka 2013 , Diamond  Platnumz alichaguliwa na Cocacola kuwa Brand Ambassador wa Kinywaji Cha Cocacola, na  kufuatiwa na ziara yake ya East Africa na ikiwemo Burundi  , Congo na Kenya n.k. na kuweka record ya kuwa msanii wa kwanza East Africa kuweza
kupiga show pekeake kwenye uwanja na kujaza zaidi ya watu 30,000… mnamo  June 2013 Diamond alishinda tuzo mbili  za Tanzania Kili Music  Award akiwa kama   Msanii bora wa kiume Bongoflavour na Msanii bora  wa kiume kwa wanamziki wote Tanzania
Mwezi wa saba mwaka 2013 , Diamond  alirelease next single yake iliyokwenda kwa jina la Number One ambayo  aliifanyia Video Capetown South Africa Chini ya kampuni ya Ogopa  Videos  na kuweka record ya kuwa msanii wa kwanza kulaunch video bila  kiingilio katika Hotel ya SERENA na kuwaalika CEO’s  ,  mameneja  na  viongozi toka sehemu tofauti tofauti. katika launching hiyo akamzawadia Gari moja ya
Malegend wakubwa katika mziki wa Tanzania , Marehemu  Mwidini Gurumo.

mwezi 10 mwaka 2013  , Diamond aliifanya Collabo na msanii toka Nigeria  Davido ya ngoma ya Number one kama Remix na kisha kwenda nchini Nigeria  kwajili ya kusomea Markert ya West Africa na kushoot video ya wimbo huo  ulio shootiwa na Kampuni ya Capital Dreams iliyo chini ya Director  Clarence Peter. Nyimbo hii ilimtambulisha Diamond Platnumz nchini Nigeria na barani Africa kiujumla na kumuwezesha kupata nominations mbalimbali kwenye tuzo za kimataifa ikiwemo , MTV MAMA awards ambayo aliperform nyimbo hii live na Davido, BET Awards na tuzo zinazotegemea kufanyika za AFRIMAMA , MTV Europe , Channel O awards na awards nyingine kutoka nchi mbalimbali.
Tarehe 7 mwezi wa 7 mwaka 2014 , wakati Diamond akisherekea Birthday ya mama yake alimzawadia mama yake gari pamoja na kuachia video mbili za mdogomdogo aliyoifanyia nchini Uingereza na BumBum aliyomshirikisha Iyanya kutoka Nigeria aliifanyia Afrika Kusini. Video hizi  kwa pamoja zilimgarimu Diamond dola 78,000 za kimarekani . Hivi Sasa nyimbo hizi ndio habari ya mjini na ni kitu kisichofikisha kwamba nyimbo hizi zitaendelea kumbeba Diamond hadi mwaka 2014 unaisha.

Huyu ndio Diamond Platnumz, mtoto wa Tandale aliyoweza kutumia kipaji chake cha kuimba vizuri, aliyoweza kukabiliana na changamoto mbalimbali za maisha ,maisha yake ni fundisho kwa vijana kibao mjini wanaohangaika kutoka kimaisha. Familia ya Vibe Tanzania inamtakia maisha marefu wakati huu anaposherekea kutimiza miaka 26 ya maisha yake iliyousisha uchungu , mahangaiko,tabu,kutafuta na baadae kumzawadia furaha pale anapoona mafanikio yanamjia.....



HISTORIA YA ALI KIBA 

SOCIAL HALL
Alikiba Saleh Kiba (born November 26, 1986) is a Tanzanian recording artiste, songwriter, dancer, producer, actor and model. He is one of Africa’s biggest stars and his name is steadily becoming a household name internationally.
So influential is Alikiba that the Tanzania’s president JakayaMrishoKikwetehonored him for his invaluable contribution to Tanzanian Music and Arts and Culture feted him.
In 2011, Alikiba was voted as “the most popular top selling artist in East Africa” – Tanzania, Kenya and Uganda by Synovate research.
His debut album, named after the hit single ‘Cinderella’ became the biggest selling record in East Africa in 2008. He followed it up with his second album “Ali K for Real” which had mega-hits like ‘Nakshi Mrembo’, ‘Nichuum’ and ‘Usiniseme’. The success of the album cemented Alikiba’s name as one of Tanzania’s all-time greats.
In 2010 Alikiba achieved another first, collaborating alongside Billboard’s “Most Influential Global R&B Artist of the past 25 years”, American singer-songwriter and record producer R Kelly for the successful One8 project alongside seven of Africa’s biggest names in music; Fally Ipupa, 2Face, Amani, Movaizhaleine, 4X4, Navio, JK.
When it comes to awards and nominations, Alikiba has them in plenty. He has been nominated for ‘Best International Act’ for Black Entertainment Film, Fashion, Television and Arts Awards, Best East African Artist (African Music Awards), Winner of Best Zouk / Rhumba Song and Best Tanzanian Writer, Best Male Artists and Best Collaborating song with Lady Jaydee (Kili Music Awards).
Alikiba Saleh Kiba was born on November 26, 1986 in Iringa, Tanzania to Tombwe Njere and Saleh Omari. He is the first of four children and is followed by Abdu Saleh Kiba, Zabibu Saleh Kiba and Abubakar Saleh Kiba.
Music has always been Alikiba’s passion since childhood. He was either going to be a soccer player or a musician but the passionfor the latter won.
During his primary school years at Upanga Primary School in Dar es salaam, he would dance and sing for his fellow students in school shows. After high school in 2004, he started pursuing a career as a songwriter and a music artist and wrote his first song, Maria. Later that year, Alikiba started working on his first album. In 2005, he received an offer from a Ugandan soccer team but turned it down to pursue and perfect his music career. As much as he loved soccer and was super talented, he loved music more and in that same year, decided to put more effort in his music.
SOCIAL HALL
2007: Cinderella Album
This was the album that introduced Alikiba to the music scene. The album’s top single, Cinderella was an instant hit and made it to number one on all of Tanzania’s music charts and was big enough to cross over to Kenya, Rwanda and Uganda.
He had East Africa’s complete attention when he followed up with even bigger hits led by MacMuga, Nakshi Mrembo and Mali Yangu. Even the Middle East could not get enough of the star. He breaking records and crossing boundaries.
2008: Alikiba 4 Real
A year later in 2008, Alikiba released his second album’s first single, Usiniseme and at this point, he was dominating the charts across East Africa and beyond. The album, Alikiba 4 Real was another piece of work from the star. In the same year, Alikiba was nominated and won the Kilimanjaro Music Awards for Cinderella.
2009: Modeling
While still soaring in his career, Alikiba received another soccer offer to play for the Tanzania soccer team, African Lyon but predictably, turned down the offer and instead decided to

KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI. Propellerads

mpoma

About mpoma

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :