Propellerads

Thursday, October 27, 2016

mpoma

rwakatale afungulia wafungwa

PropelleradsRWAKATALE AFUNGULIA WAFUNGWA





































Mama Getrude Rwakatale chini  ya kanisa lake la Mikocheni B Assemlies of God  leo amewatoa wafungwa 12 waliokuwa wamefungwa katika gereza la Keko.

Mchungaji  Rwakatale amesema kuwa amewatoa wafungwa wanao daiwa kiasi kidogo chafedha ili warudi uraiani kuendelea na shughuli za kujenga taifa. maana kukaa gerezani kunapoteza nguvukazi.

Waumini wa kanisa lake wamechangia takribani milioni 25 kwa ajili ya kuwato awafungwa 78 katika awamu hio ya kwanza na baadae kanisa litaendeleza zoezi hilo.

Baada ya keko wanampango wa kwenda Ukonga ili kuwatoa wafungwa wengine.
KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI. Propellerads

mpoma

About mpoma

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :