Propellerads

Saturday, October 15, 2016

mpoma

AMANI IWE KWENU : KUMBUKUMBU YA MWL. NYERERE

Propellerads

 Tarehe 14 mwezi wa 10 ndio kumbukumbu rasmi ya kukumbuka kifo cha baba wa Taifa Hayati Mwl Julius K Nyerere.

Kumbukumbu hii imekuja wakati muafaka na sahihi kwani tupo kwenye kipindi cha Uchaguzi Mkuu utakaotupatia Rais, Wabunge na Madiwani.

Moja ya kauli ambayo aliwahi kuisema enzi za uhai wake na inavuma sana kwa wakati huu ni kuwa "....Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM..".

  KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI. Propellerads

mpoma

About mpoma

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :