Propellerads

Saturday, October 15, 2016

mpoma

kauli ya mheshimiwa raisa kuhusu kumbukumbu ya mwl. nyerere hii hapa

PropelleradsMheshimiwa Raisi katika kuzuia viongozi mbalimbali wa mikoa, wilaya na taasisi kuhudhuria siku kilele cha cha mbio za mwenge wa Uhuru kunakoenda sambamba na kumbukumbu ya kifo cha muasisi wa Taifa hili, Hayati Mwalimu Nyerere, aliagiza kuwa viongozi hao wabuni njia/shughuli mbalimbali za kuadhimisha siku hii katika maeneo yao.

Waungwana husema uongozi ni kuonesha njia.

Najiuliza kauli hii ya Mheshimiwa Raisi imetekelezwaje na Ofisi, Taasisi yake

Kwa vyovyote vile, kWa uzito wa tukio la Leo na kwa jinsi watawala wa Nchii hii wanavyojinasibu kuwa wanamuenzi Mwalimu kwa vitendo, haikutarajiwa maadhimisho haya kukosa involvement au tukio lolote toka Magogoni. KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI. Propellerads

mpoma

About mpoma

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :