Propellerads

Wednesday, October 19, 2016

mpoma

belle 9 aupiga vijembe mziki wa singeli

Propellerads

Belle 9 amesema hafikirii kabisa kufanya muziki wa
Singeli.

Muimbaji huyo wa R&B amesema huo ni muziki wa
kupita na katu hauwezi kudumu.

Alitoa kauli hiyo baada ya kuulizwa swali na mtangazaji
iwapo atafanya muziki huo mashabiki wakimtaka.

“Sitegemei,” alisema Belle9

“Hata kama nitafanya, sitofanya kama release song sababu
Singeli ni muziki fulani hivi ambao unapita, ni bubble gum
music. Sasa hivi watu wanaushabikia lakini itafika time
utapita, sio muziki wa kustick.”
KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI. Propellerads

mpoma

About mpoma

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :