Ndugu Grasiano Myinga-Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Karibu Tanzania Associatian,akitoa mada katika Mafunzo hayo ya Wanahabari na Wakufunzi wa Vyuo vya Maendeleo nchini.
Wanahabari wakikaribishwa katika mafunzo ya Wanahabari na Wakufunzi wa Vyuo vya Maendeleo(FDC).Mafunzo yanayolenga kuwapatia uwezo wa kufikisha Habari kwa Jammii kwa haraka zaidi.Mafunzo yanasimamiwa na Shirika la Karibu Tanzania Association(KTA).Mafunzo yanafanyika mkoani Iringa.
KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI.