KIBOKO KABISA YA PASUA ANGA AFRIKA MASHARIKI
KIBOKOKABISA ni Filamu ya kitanzania iliyotengenezwa nchini Tanzania ambayo inaweza kutazamwa duniani kote na rika lolote. Ni filamu yenye kuelimisha na kuburudisha pia ni filamu ambayo imechukua muda mrefu kutokana na kuandaliwa mazingira ya kurekodi vipande vya filamu hiyo. Nisha`s Film Production ni kampuni ya kwanza Tanzania inayo wathamini wasanii wachanga kwa kuweza kuwapa nafasi katika filamu zake ili kuweza kuonyesha uwezo wao. Ndani ya KIBOKOKABISA wasanii hao wamecheza nafasi kubwa nakwa uwezo mkubwa mpaka inakuwa ngumu kugundua kama wasanii hao ndio mara yao yakwanza kwenye game. KIBOKO KABISA IMEINGIA SOKONI IJUMAA YA TAREHE 29 MWEZI WAKWANZA MWAKA 2016
MARIAM BHAO |
JENIFER TEMU |
FRIDAUS KHATIBU |
HEMEDY CHANDE |
TUNU KHAMIS |