Propellerads

Saturday, October 29, 2016

mpoma

leo siku ya kuzaliwa ya rais magufuli

Propellerads

Rais Magufuli atoa neno kwenye siku yake ya kuzaliwa





Leo ni siku ya kuzaliwa ya Rais Dkt John Magufuli.

Watu wa fani na rika mbalimbali wameendelea kumpongeza kupitia mitandao ya kijamii.

“Ninamshukuru Mungu kufikia siku yangu ya kuzaliwa,ninawashukuru watanzania nyote kwa kuniombea,” ameandika kwenye Twitter. “Nitafanya kazi kwa moyo nanguvu zangu zote,” ameongeza.

“Ninaahidi kuendelea kufanya kazi kwa moyo na nguvu zangu zote kwa ajili ya maendeleo ya Taifa. Mungu Ibariki Tanzania.”
Happy Birthday mheshimiwa Rais Magufuli
KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI. Propellerads

mpoma

About mpoma

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :