Propellerads

Wednesday, October 19, 2016

mpoma

ANGALIA PICHA YA AJALI YA COSTA- ILIYOTOKEA MBEYA 25 HOI

PropelleradsANGALIA PICHA AJALI YA COSTA- WATU ZAIDI YA 25 WAJERUHIWA HUKO MBEYA,DEREVA ANUSA KIPIGO CHA ABIRIA

Watu zaidi ya 25 wajeruhiwa vibaya katika ajali iliyotokea jana baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Toyota Costa kutoka Mbozi kuelekea Mbeya kupinduka katika eneo la  Senjele wilayani Mbozi Mkoa wa Mbeya.

Baadhi ya majeruhi wakitafuta mizigo yao mara baada ya kutoka ndani ya basi hilo.
Ajali hiyo ilihusisha gari aina ya Costa lenye namba za usajili T 336 CJY ambalo lilipinduka baada ya kumshinda dereva wakati akijaribu kulikwepa gari linguine aina ya Suzuki lenye namba za usajili T 327 ARZ.


Kwa mujibu wa baadhi ya majeruhi walionusurika kwenye ajali hiyo walisema chanzo ni dereva kushindwa kulimudu gari la abiria baada ya kulikwepa gari dogo kutokana na kuwa na mwendokasi pamoja na mvua kubwa iliyokuwa ikiendelea kunyesha.
Baadhi ya majeruhi wakitoka ndani ya basi hilo
Baadhi ya majeruhi walikimbizwa katika Hospitali teule ya Ifisi na wengine wakipelekwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya kwa ajili ya matibabu zaidi.






Baadhi ya abilia wakitaka kumpiga Dereva wagari ya aina ya Suzuki kuwa yeye ndio alisababisha ajali hiyo kwa kuyumbayumba kwake barabarani

Moja ya wasamaria wema akiwazuia abiria wenye hasira kali kutaka kumpiga mzee huyo Mwenye Suzuki ambae alijulikana kwa jina moja tu mzee Mtawa

Mwandishi wa habari Kenneth Mwazembeakiwasili katika Hospitali ya Ifisi akisindikizwa na  Joseph Mwaisango  wa Mbeya yetu baada ya kupata ajali eneo la Senjele wilayani Mbozi  akiwa anatokea shambani kwake  huko wilayani  Momba kwa taarifa za awali inasemekana amevunjika mguu wa kushoto


KUPATA KAZI POPOTE NCHINI BONYEZA 'HAPA' CHINI. Propellerads

mpoma

About mpoma

Author Description here.. Nulla sagittis convallis. Curabitur consequat. Quisque metus enim, venenatis fermentum, mollis in, porta et, nibh. Duis vulputate elit in elit. Mauris dictum libero id justo.

Subscribe to this Blog via Email :